Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, March 14, 2016

Ndoa knisani

Wakati dnoa inafungwa kanisani, mchungaji akauliza "kwa yeyote mwenye pingamizi na aje mbele..." Ghafla kibabu kikasimama na kwenda mbele. Bi harusi akaanguka na akazimia. Mchungaji akamuuliza "haya babu tuambie pingamizi lako" Babu akajibu "nimeamua kuja mbele, kule nyuma sisikii vizuri."

Mlevi kaibiwa...

Mlevi mmoja alipoingia kwenye gari yake ikabidi apige simu kama ifuatavyo; Mlevi: Haloo, nimeibiwa usukani, dashboard, gia pia, na pedo za break" Polisi: Tukio limetokea eneo gani? Baada ya sekunde kadhaa mlevi akapiga simu tena polisi "Jamani msije tena kumbe niliingia mlango wa nyuma vyote vipo."

Wednesday, March 2, 2016

Picha ya mapacha

Mama mmoja alizaa mapacha, ugumu wa maisha watoto wake mmoja akaikabidhi familia moja wakamuita Kijo na mwingine familia ingine wakamuita Tulo. Siku moja mama mzazi wa mapacha akatumiwa picha ya Kijo amekua kua, akamuambia mumewe "natamani wanitumie picha ya Tulo pia." Mume akamjibu "ni mapacha kumbuka, ukimuona mmoja ni umemuona mwingine."

Walevi wawili

Walevi wawili walikua wanabishana: Mlevi 1: We umelewa, nakuambia ule ni mwezii unabisha. Mlevi 2: Sio mwezi bwana, si nyota kabisa zile we huoni? Akapita msamaria mmoja wakaona waulize "eti samahani, ule mweziii au nyota?" Msamaria akawajibu: Ile ni tubelight imefungwa kwenye mti imefunikwa funikwa na majani.
Dada mmoja alipotumiwa vocha na mpenzi wake, wakati anamshukuru maneno yalikua kama ifuatavyo: "Baby jamani asante, ila juanitumia ya kutolea."

Sahau matatizo

Jamaa mmoja alimuomba ushauri mwenzake juu ya matatizo yakiyomsonga, akamjibu kama ifuatavyo. "Namna rahisi ya kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) ni kuvaa viatu vinavyokubana."

Machizi wawili safarini

Kulikua na chizi watatu walipanda treni kuelekea Mbeya, maongezi yao kama ifuatavyo: chizi wa kwanza: Unaona vile miti inavyokimbia? Chizi wa pili akajibu: Eee! itabidi tupande miti tukirudi. Chizi wa tatu: Nauli yake ipo juu nilipieni...

Mtoto kaunguza picha

Mtoto mmoja alikua kwenye daladala na mama ake. Maongezi ya mtoto yakawa hivi kwa sauti ya kusikika kwenye daladala nzima, "kwani mama tunenda wapi wakati hatujaoga?"

Sunday, January 4, 2015

Mama akimuambia mwanae jambo, "Steve tafadhali kuwa makini na hiyo nyundo, utajiponda vidole." Steve nae akajibu, "Usijali mama, Emma ndio atashikilia msumari."
Baba: Juma umeliona gazeti langu? Juma: Ndio, mama kalivurugavuruga na kulitupa. Baba: Agghh! Nilikua nataka yaliyomo kabla hajalitupa. Juma: Nikusimulie, kulikuwa na maganda ya nyanya, vitunguu na karoti.
Baba: Mwanangu, nina habari nzuri. Umepata mdogo wako wa kike sasa. Mtoto: Oh! Kweli baba? Mama ana hizi taharifa?
Sauti toka kwenye simu: Halo, mama ako yupo nyumbani? Msichana kakajibu: Ndio yupo Sauti kwenye simu: Unaweza kumuita aje niongee nae tafadhani? Msichana: Sawa, inabidi niende mtaa wa pili kumuita. Sauti kwenye simu: Nilidhani umesema yupo nyumbani lakini? Msichana: Ndio yupo. Hii simu ni nyumbani kwa rafiki yangu, sie tunaishi mtaa wa pili.

Wednesday, July 10, 2013

Swali kwa wanafunzi

Mwalimu akiwa darasani akauliza swali: Haya naomba mniambie, utamuitaje mtu ambae anaongea na mtu au watu wakati huo huo wanaomsikiliza hawana mvuto wa kusikiliza akiyoyasema? Mwanafunzi mmoja akanyoosha kidole na kujibu: Jibu ni Mwalimu.

Ma-lavi-davi

Msichana: Nakupenda sana na nitakufa kwa ajili yako. Mvulana akajibu: Lini haswa utakufa sasa?

Jibu la mpenzi

Mvulana na msichana wapenzi wakiwa matembezini Mvulana: Naweza kukushika mkono wako? Msichana: Hapana usijali, sio mzito.

Mhudumu na mteja

Mhudumu: Nikuletee black coffee? Mteje: Kwani mna coffee ya rangi gani ingine?

Swali kwa chekechea

Mwalimu aliuliza swali kwa wanafunzi wa chekechea kama ifuatavyo: Mwalimu: Haya mninjibu swali hili, kati ya Jua na Mwezi kipi muhimu? Mtoto mmoja akanyoosha kidole na kujibu. Mtoto: Bora mwezi Mwalimu: Kwa nini umechagua mwezi? Mtoto: Kwa sababu mwezi unatupa mwanga usiku wakati tuna uhitaji, lakini jua linatupatia mwanga mchana wakati hata hatuuhitaji.

Thursday, November 8, 2012

Mgeni huyu...

Wageni wengine noma...........!!!!!!!! MWENYEJI: "Utakunywa soda au chai?" MGENI: "Ntakunywa soda wakati nasubri chai ichemke!....."

Tuesday, October 9, 2012

Kambi ya jeshi

Jamaa alikatiza kambi ya jeshi. Akapewa adhabu ya kubeba tofali 1,000. Alipofikisha 900 akakumbuka mkuu wa kambi kasima nae, akaenda msemea aliempa adhabu: mkuu akanena "umeshabeba mangapi hadi sasa?" Jamaa akajibu "900" mkuu akanena "basi yarudishe halafu uendelee na safari yako."

Taxi na ofa

Jamaa kwenye taxi alimuona mke wake anaingia hotel na njemba akamuambia taxi driver "unataka tengeneza laki 2 sasa ivi?" Akajibu "ndio" akapewa kazi akamchukue mke wa jamaa amlete. Akarudi na mwanamke sie jamaa akanena "huyu sio mke wangu" taxi driver akanena "najua! Huyu ni mke wangu mshikilie namfuata wako sasa."

Monday, October 8, 2012

Dokta na mgonjwa wake

Daktari mmoja alienda wodini akamkuta mgonjwa wake amelala usingizi maongezi yakawa hivi baada ya kumuamsha "nimekuja kukuletea dawa ya usingizi hii hapa kunywa"

Friday, September 21, 2012

Mjamaika na ndoa mpya

Mjamaika (Rasta) mmoja alikua anafanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mkewe. Ghafla akasema kwa sauti kubwa na kutoka mbio chumbani alipokuwa, akarudi na maji kwenye jagi na kuamwagia eneo tamu la mkewe(Ukeni. Mke kwa ukali akafoka "watta gwan what you rasta man do that for?" Janaume likajibu (Rasta) "this thing too sweet me wanna dilute it. Remember am diabetic and sweet thing not good for me rasta man."

Dunia kwishneii

Kaka wakati anafanya mapenzi na dada ake waliponogewa dada akasema "Mhh Unan... vizuri kuliko baba" Kaka nae akanena "Hata mama nae kasema ivo ivo"

Vibweka vya mapacha

Mapacha wawili walipenda kula kuku na chips siku moja katika maongezi yao pacha wa kike akamuambia wa kiume "Kuku wameniambukiza manyoya." Pacha wa pili kiume akanena "nionyeshe" yule wa kike akamvulia na kumuonyesha akaona vinywele vimeota. Yule wa kiume akavua na yeye akisema "ona hata mimi wameniambukiza" Pacha wa kike anamalizia kwa kusema "Wamekuambukiza vibaya mpaka firigisi."

Kaaazii ipo...

Njemba baada ya kuchoka fanya kazi zake nyumbani akazima taa akalala. Punde akaona mtu kasimama pembeni akauliza "we ni nani chumbani kwangu" Akajibiwa "mimi malaika." Njemba ikauliza ina maana "nimekufa, mbona bado kijana nirudishe duniani bado nna nafasi..." Malaika akamjibu "labda tukurudishe kama mbwa au kuku, njemba ikaona bora kuwa kuku, akiwa bandani akaanza hisi anawashwa nyuma, jogoo akamuuliza "unajihisi kama unataka kutaga?" akajibu ndio. Basi jogoo akamuambia "chuchumaa utoe mayai utamie" Akawa anafanya ivo akijikamua ghafla akastukia kapigwa kibao na mkewe "wewe (kwa sauti ya ukali) ni nini unakunya kitandani?"

Thursday, September 20, 2012

Nani wa kuja kati ya...

Nani mshamba kati ya hawa hapa? 1. Aleenda shop kuulizia bluetooth. 2. Aliekula hotelini akaosha vyombo. 3. Alienunua Ice Cream akaipasha moto. 4. Aliemuamkia mtu kwenye TV. 5. Alieenda bank kununua sabuni.

Tuesday, September 18, 2012

Faini ya mwizi

Mume kamfumania jamaa fulani akifanya mapenzi na mke wake, akamtoza faini ya 500/= Yule jamaa akatoa fastafasta noti ya 1000/= Mume akasema,"Kesho njoo umgonge tena...mi sina change!!"

Hasira mmbadala

Mke alimwuliza mmewe "ambona mume wngu nikikuudhi huwa hukasiriki?" Mumewe akajibu "huwa ukiniudhi nachukua mswaki wako na kusugulia chooni"

Nani zaidi?

Jamaa: I love you sweet. Msichana: I love you too...ila tupendane tu,mambo ya ngono sitaki namtunzia mume atakaenioa. Jamaa: Hilo si tatizo,na mimi mambo ya kuniomba pesa sitaki namtunzia mke nitakaemuoa!

Wednesday, September 12, 2012

Kichaa jalalani

Kichaa mmoja alikutwa jalalani.
Jamaa akamuuliza wewe mbona ukohapa wakati wenzio wapomilembe?
Akajibu wale wako boding mimi nipo day