Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, March 2, 2016

Machizi wawili safarini

Kulikua na chizi watatu walipanda treni kuelekea Mbeya, maongezi yao kama ifuatavyo: chizi wa kwanza: Unaona vile miti inavyokimbia? Chizi wa pili akajibu: Eee! itabidi tupande miti tukirudi. Chizi wa tatu: Nauli yake ipo juu nilipieni...

No comments:

Post a Comment