Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, March 14, 2016

Ndoa knisani

Wakati dnoa inafungwa kanisani, mchungaji akauliza "kwa yeyote mwenye pingamizi na aje mbele..." Ghafla kibabu kikasimama na kwenda mbele. Bi harusi akaanguka na akazimia. Mchungaji akamuuliza "haya babu tuambie pingamizi lako" Babu akajibu "nimeamua kuja mbele, kule nyuma sisikii vizuri."

No comments:

Post a Comment