Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, March 2, 2016

Walevi wawili

Walevi wawili walikua wanabishana: Mlevi 1: We umelewa, nakuambia ule ni mwezii unabisha. Mlevi 2: Sio mwezi bwana, si nyota kabisa zile we huoni? Akapita msamaria mmoja wakaona waulize "eti samahani, ule mweziii au nyota?" Msamaria akawajibu: Ile ni tubelight imefungwa kwenye mti imefunikwa funikwa na majani.

No comments:

Post a Comment