Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, March 14, 2016

Mlevi kaibiwa...

Mlevi mmoja alipoingia kwenye gari yake ikabidi apige simu kama ifuatavyo; Mlevi: Haloo, nimeibiwa usukani, dashboard, gia pia, na pedo za break" Polisi: Tukio limetokea eneo gani? Baada ya sekunde kadhaa mlevi akapiga simu tena polisi "Jamani msije tena kumbe niliingia mlango wa nyuma vyote vipo."

No comments:

Post a Comment