Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, March 2, 2016

Mtoto kaunguza picha

Mtoto mmoja alikua kwenye daladala na mama ake. Maongezi ya mtoto yakawa hivi kwa sauti ya kusikika kwenye daladala nzima, "kwani mama tunenda wapi wakati hatujaoga?"

No comments:

Post a Comment