Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 21, 2012

Vibweka vya mapacha

Mapacha wawili walipenda kula kuku na chips siku moja katika maongezi yao pacha wa kike akamuambia wa kiume "Kuku wameniambukiza manyoya." Pacha wa pili kiume akanena "nionyeshe" yule wa kike akamvulia na kumuonyesha akaona vinywele vimeota. Yule wa kiume akavua na yeye akisema "ona hata mimi wameniambukiza" Pacha wa kike anamalizia kwa kusema "Wamekuambukiza vibaya mpaka firigisi."

No comments:

Post a Comment