Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, September 18, 2012

Nani zaidi?

Jamaa: I love you sweet. Msichana: I love you too...ila tupendane tu,mambo ya ngono sitaki namtunzia mume atakaenioa. Jamaa: Hilo si tatizo,na mimi mambo ya kuniomba pesa sitaki namtunzia mke nitakaemuoa!

No comments:

Post a Comment