Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 10, 2013

Swali kwa chekechea

Mwalimu aliuliza swali kwa wanafunzi wa chekechea kama ifuatavyo: Mwalimu: Haya mninjibu swali hili, kati ya Jua na Mwezi kipi muhimu? Mtoto mmoja akanyoosha kidole na kujibu. Mtoto: Bora mwezi Mwalimu: Kwa nini umechagua mwezi? Mtoto: Kwa sababu mwezi unatupa mwanga usiku wakati tuna uhitaji, lakini jua linatupatia mwanga mchana wakati hata hatuuhitaji.

No comments:

Post a Comment