Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 10, 2013

Swali kwa wanafunzi

Mwalimu akiwa darasani akauliza swali: Haya naomba mniambie, utamuitaje mtu ambae anaongea na mtu au watu wakati huo huo wanaomsikiliza hawana mvuto wa kusikiliza akiyoyasema? Mwanafunzi mmoja akanyoosha kidole na kujibu: Jibu ni Mwalimu.

No comments:

Post a Comment