Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, January 4, 2015

Sauti toka kwenye simu: Halo, mama ako yupo nyumbani? Msichana kakajibu: Ndio yupo Sauti kwenye simu: Unaweza kumuita aje niongee nae tafadhani? Msichana: Sawa, inabidi niende mtaa wa pili kumuita. Sauti kwenye simu: Nilidhani umesema yupo nyumbani lakini? Msichana: Ndio yupo. Hii simu ni nyumbani kwa rafiki yangu, sie tunaishi mtaa wa pili.

No comments:

Post a Comment