Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 21, 2012

Baba na Bintie

Binti: Hi Baba Baba: Hi binti yangu? Binti: Nimempenda huyu mlinzi wa hapa nyumbani na nimeamua kutoroka nikaolewe nae Baba: Pumbavu kweli wewe unadhani nitashtuka? Safari njema na nisione sura yako tena hapa! Binti: Samahani baba... Nilikuwa nakusomea barua aliyoacha mama Baba: Umesema.????.!

No comments:

Post a Comment