Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 15, 2012

Wazo la mtoto

Mtoto akimuambia baba yake pale sebuleni kwao palipokuwa na tanki dogo la kioo la kufugia samaki. Mtoto "baba mi naona kama hao samaki wana kiu si uwaekee maji ya kunywa!"

No comments:

Post a Comment