Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, March 10, 2011

Kuhesabu

Hasani: Jaki amefukuzwa shuleni kwa udanganyifu
Joni: Kwanini?
Hasani: Alikamatwa akijihesabu mbavu kwenye mtihani wa baolojia.

No comments:

Post a Comment