Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, March 11, 2011

Mwanamke wa Tz

Mwanamke mmoja wa kibongo alikua baa na wanaume wawili New York, mwanaume wa kwanza akaagiza kwa muhudumu "Johnny Walker single" wa pili akaagiza "Jack Daniels single" ilipofika zamu ya mwanamke kwa kujiamini nae akasema "Asha Selemani Married"

No comments:

Post a Comment