Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, August 16, 2012

Kichaa juu ya mti

Siku kichaa mmoja alipopanda juu ya mwembe asubuhi akakaa huko mpaka jioni, kisha ilipofika jioni akajiangusha chini mzima mzima
Daktari wa wagonjwa akili akamuuliza "mbona umejiangusha?"
Yule Kichaa akajibu "Nimeiva tayari"

No comments:

Post a Comment