Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, August 22, 2012

Pete ya dhahabu

Dada mmoja aliingia duka la urembo, akaona pete 1 ya dhahabu, wakati akiisogelea aione vizuri, bahati mbaya akajamba, akaangalia pande zote kama kuna mtu kamsikia, alipogeuka nyuma akakutana macho kwa macho na muuzaji. Kwa aibu akazuga akamuuliza muuzaji hii pete unauza shilingi ngapi? Muuzaji akamjibu "kuiona tu umejamba, je nikikutajia bei si utakunya hapa hapa?"

No comments:

Post a Comment