Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 21, 2012

Mkristo na futari

Ivi unafaham... Mkristu kavamia futari vuuuupu. Baada ya kula Sheikh akamchagua asome dua ya kushukuru! Jamaa kataka kuingia mitini ila akajikaza kiume na kuanza kama ifuatavyo: Jamaa:Ya Tawfiq. Watu:Amin. Jamaa:Ya Habib. Watu:Amin. Jamaa:Ya Shabiby. Watu:Amin. Jamaa:Ya Abood. Watu:Amin. Jamaa:Ya Hood. Watu:Amin. Jamaa:Ya Scandnavia. Watu:kimya! Jamaa:Ya Ngorika. Watu:Mhhhhhhh! Jamaa:Ya Dar Express! Watu:Aaaaa, chezea sisi kamata tia bakora mwanaharamu huyu!

No comments:

Post a Comment