Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 14, 2012

Simu ya nani?

Jamaa mmoja alipanda kwenye gari, wakati wapo safarini dereva wa ile gari akawasha redio, kwa vile ilikuwa na sauti ndogo na spika zake ndogo yule aliyepewa lifti akajikuta akipayuka bila kujua "simu ya nani hiyo inaita muda mrefu?" asijue kuwa ni mziki toka kwenye redio.

No comments:

Post a Comment