Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, May 16, 2012

13, 13...

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anesema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,..... akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14......

No comments:

Post a Comment