Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, May 27, 2012

Kwa mama lishe

Jamaa kwa mama lishe baada ya kula wali nyama akaletewa vijiti vya kutolea nyama kwenye meno. Vilipofika tu mezani kwake akahoji "vimechemshwa hivi? Maana kipindupindu nje nje."

No comments:

Post a Comment