Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, May 2, 2012

Tangaza ndoa...

Njemba ilienda kutangaza ndoa: Njemba: Mzee mimi nataka kumuoa mwanao. Mzazi: Unafanya nini kusukuma siku? Njemba: Nakaba, kupora na kubaka. Mzazi: Mbona vyote na hasi huna hata moja chanya? Njema: Ohh! Chanya nina HIV +ve.

No comments:

Post a Comment