Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, May 30, 2012

Mshtuko wa moyo

Mume karudi akasikia sauti asiyoielewa toka chumbani kwake, akaenda na kukuta mkewe analalamika amepata mshtuko wa moyo. Mbio anaenda sebuleni kupiga simu kuomba msaada. Punde mwanae akaja "baba anko Jose kajificha kabatini kwako uchi" mzee mbio mpaka chumbani. Fungua kabati akamkuta ndio na kumuambia "wee mke wangu anapata mshtuko wa moyo we umejificha tu uchi humu unawatisha watoto, njoo tumpe msaada haraka."

No comments:

Post a Comment