Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, May 2, 2012

Duka la tai

Jamaa alienda nunua tai alipofika ikawa hivi: Muuza duka: Karibu, nikusaidie nini? Mteja: Natafuta tai iliyochanganyika na maziwa na kahawa hivi. Muuza duka: Sijajua na sukari je au hutoitaji?

No comments:

Post a Comment