Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, May 30, 2012

Dawa yake

Mume alizoea kila mara akirudi usiku ananyimwa unyumba na mkewe kwa kisa anaumwa kichwa. Siku mume akarudi na moja kwa moja akampelekea panadol mbili na maji, mkewe akanena "nani kakuambia naumwa kichwa?" Mume akajibu "yes nimekukamata leo"

No comments:

Post a Comment