Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, May 16, 2012

Hakimu & hongo

Kesi imeanza hakimu kakaa kwenye kiti chake akatangaza; Hakimu: Mlalamikaji na mtuhumiwa wote mmeniletea hongo niwapendelee. Mlalamikaji umenipa laki moja, mtuhumiwa umenipa umenipa laki moja na hamsini. Sasa nawarudishia hii hamsini elfu ili nisiwe na sababu ya kumpendelea mtu. Tunaendelea...

No comments:

Post a Comment