Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, May 22, 2012

Jamaa alinunua friji jipya la zamani akaliweka nje na kuandika "friji hili ni bure nalitoa" zikapita siku mbili hamna alieamini yale. Siku ya tatu akaandika "friji hili lauzwa laki mbili" usiku wake likaibiwa.

No comments:

Post a Comment