Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, February 14, 2011

Alfajiri

Jamaa alikurupuka asubuhi mbio mbio mpaka nje ya nyumba yake, akamkuta jogoo (kuku) na kuku wengine. Akmdaka yule jogoo na kumkwida akimuambia "pumbavu kabisa umepitiliza kwa nini hujawika uniamshe?"

No comments:

Post a Comment