Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, February 14, 2011

Uokoaji majini

Jamaa mmoja alikua alipatwa na dhoruba kwenye mtumbwi, ukaja mtumbwi mwingine kuwaokoa basi jamaa akazamia na alipoibuka akaibuka na begi la ngua na kumuambia aliekuja na mtubwi mingine "enhe nipokee begi hili nimfuate mke wangu sasa"

No comments:

Post a Comment