Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, February 21, 2011

Kuiba bank

Wezi waliingia bank kuiba walipofungua safe wakaona kitu kama mtindi kutesti yes ni kama mtindi. Wakajaribu safe kama 3 ivo ivo. Mmoja akatumwa aangalie nje jina la benk. Akarudi na kujibu ni benk ndio. Wakamuuliza which bank exactly? Akajibu 'The Sperm Bank of Dar"

No comments:

Post a Comment