Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, February 14, 2011

Nani kapiga?

Baba mmoja aliporudi nyumbani akamkuta mwanae anapandika vi-note kwenye computer ya baba yake vimeandikwa kama ifuatavyo: Ulipoondoka James alipiga simu ya mama, Julius nae alipiga simu ya mama, Davis nae alipiga simu ya mama.

No comments:

Post a Comment