Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, September 15, 2011

Bia noma

Bar moja mtaa mmoja karibu na makazi ya watu siku moja mwanamke mmoja alikua anakimbizwa na mumewe. Ishu ilikua ugomvi wao, mwelekeo ulikua karibu kbs na meza ya wanywaji fulani.

Yule mama huku akikimbia "nisaidie nisaidie ataniua..." Wale walevi wao walichowahi ni kushika chupa na glass za bie pale mezani ikitokea kajikwaa zisimwagike.

No comments:

Post a Comment