Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 16, 2011

Trafiki polisi

Jamaa aliazima gari! Trafiki akamzimamisha na kumuuliza hili na lile kama vipo sawa isipokua fire extinguisher hakuiona. Akatozwa faini... Alipoingia kwenye gari kabla hajaondoka akaiona ilipokuwa akarudi kwa trafic na kumuambia "nimeipata haya nirudishie pesa yangu"

No comments:

Post a Comment