Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, September 19, 2011

Mlevi na mkojo

Jamaa alilewa, baadae aliposhtuka akahisi amebanwa na mkojo na alivyokua anakojoa huku anajamba mlevi mwenzie akumuliza "mbona unakojoa na kujamba jamba? naye akamjibu kuwa "uliona wapi mvua ikinyesha bila radi kupiga?? We mwendawazimu nini?"

No comments:

Post a Comment