Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 9, 2011

Story za hapa na pale

Vijana kadhaa wakati wanatwanga stories zinazohusiana na foleni jijini Dar es Salaam, mmoja akanena "jamani kama foleni zingekuwa zinapewa Award basi foleni ya Tazara ingechukua"

No comments:

Post a Comment