Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, September 6, 2011

Msaada kwa wakwe

Kijana mmoja alipelekwa na mchumba wake kwa wakwe! Kufika wakakuta baba anataka pelekwa hosptitali alikua amekabwa na chakula.
Kijana akanena naweza msaidia, akamuwekea vidole viwili puani na kumuambia akohoe kwa nguvu, mzee wa watu akapona.

Mke akanena "huyu kijana anafaa enhe?" Mume akamnong'oneza mkewe "laiti ungenusa vidole vyake tungemfungulia mashtaka dhidi ya mtoto wetu.".

No comments:

Post a Comment