Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, September 12, 2011

Porini

Jamaa wawili walipata shida ya gari porini ikabidi waombe hifadhi kijijini. Giza lilipoingia wakapewa kachumba walale kilikua na silaha. Asubuhi wakasikia maongezi ya mke na mume wenyeji wao...

Mume: Tuwachinje wote au mmoja?
Mke: tumchinje mmoja kwanza, mwingine baadae.
Mume: Sawa ngoja tumchinje mmoja.

Masaa mawili baadae wakagongewa mlango na kuletewa wali kwa nyama ya kuku.

No comments:

Post a Comment