Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, September 7, 2011

Usahili

Jamaa mmoja alienda kwenye usahili (interview) inahusiana na computer, maswali yalianza kama ifuatavyo:
Msahili: Unaijua computer?
Msahiliwa: Ndio naijua.
Msahili: Unajua kuitumia?
Msahiliwa: Ndio na nna akaunti ya facebook na twitter.
Msahili: Ok, unajua ku-m-add mtu?
Msahiliwa: Ndio.
Msahili: Ukifika nyumbani uniadd na mimi.

No comments:

Post a Comment