Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, September 28, 2011

Madenge

Madenge alimwambia babake kuwa haendi shule tena Baba akamulizaa "kwanini?"
Madenge: Inaelekea walimu hawana uhakika na majibu yao, juzi wamesema 5+2=7, jana 4+3=7, leo 6+1=7, na kesho huenda watesema 7+0=7, sasa huo siubabaishaji?wamesema 5+2=7, jana 4+3=7, leo 6+1=7, na kesho huenda watesema 7+0=7, sasa huo siubabaishaji?

No comments:

Post a Comment