Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 30, 2011

Kwa kinyozi

Njemba ilienda kwa kinyozi na kuuliza "kinyozi ndevu shilingi ngapi?" Kinyozi akamjibu "400Tsh tu"
Njemba ikajibu "ok nifungie za 800Tsh"

No comments:

Post a Comment