Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, September 11, 2011

Tawi

Jamaa mmoja alienda kwa rafiki yake kumuomba pesa kidogo alikua ana shida, maongezi yalikua hivi "ndugu yangu nna shida ya kwenda loliondo kwa babu hivyo senti kidogo nisaidie" mdau aliemfuata akamjibu "ohh! Tena kuna branch Namanga arusha umelisikia?

No comments:

Post a Comment