Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, September 12, 2011

Mahakama ya kizungu

Jamaa alienda kwenye mahakama moja huko majuu, kwa vile kizungu hakikuwa sawa sawa kwake palitokea minong'ono mikubwa mahakamani, hakimu akanena kwa kizungu kupata utulivu "Order... Order.." Jamaa kusikia vile akanena kwa sauti "Burger moja na soda tafadhali".

No comments:

Post a Comment