Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, April 4, 2012

Changanya changanya

Deo akimsimulia mshkaji wake "unajua nini? Duniani hapa wanaume kuna mambo mawili huwa wayaelewi." Juma akajibu "kipi hicho wasichokielewa?" Deo "kumuelewa mwanamke kabla na baada ya ndoa."

No comments:

Post a Comment