Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, April 6, 2012

Faini chuoni

Mkuu anaehusika na wanafunzi wa chuo akiwafafanulia jambo wanafunzi wapya chuoni "ndugu zangu... Bweni la wasichana ni wasichana tu na wanaume ni wanaume tu." Akiendelea kuwaasa "atakae kamatwa mara ya kwanza atalipishwa faini ya elfu 20, mara ya pili elfu 60, mara ya tatu elfu 180." Mwanafunzi mmoja akanyoosha mkono kuashiria anaomba kuuliza swali, aliuliza hivi "je? Ni shilingi ngapi kwa muhula mzima?"

No comments:

Post a Comment