Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, April 18, 2012

Nani alaumiwe?

Mwanamke: Nilikubali kuolewa na wewe haraka haraka kwasababu nlikua nna hasira siku ile. Mwanaume: Ooh! Mie sikuliona hilo nlikua kwenye dimbwi la mapenzi juu yako.

No comments:

Post a Comment