Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, April 3, 2012

Samaki baada ya...

Mtoto mmoja akiwa na baba yake restaurant: Mtoto: Najua kwa nini watu wakila samaki hawanyi maji... Baba: Kwa nini unasema hivyo mwanangu? Mtoto: Kwa sababu wanaogopa samaki wataanza kuogelea.

No comments:

Post a Comment