Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, April 14, 2012

Nani ajifiche

Majira ya saa moja usiku mtoto alimuona mama yake anarudi nyumbani akamuwahi na kumuambia "mama... mama usiende nyumbani kwanza baba yupo na mwanamke mwingine, ngoja nkamuulize nani ajifiche kati ya wewe au yeye?"

No comments:

Post a Comment