Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, April 4, 2012

Mtoto miaka 18

Baba: Mwanangu sasa umetimiza miaka 18, njoo tuongee masuala ya mapenzi, kuachwa nk nk Mtoto wake wa kike akajibu: Sawa baba njoo nisikilize matatizo yako. Haya wapi panakukwaza nikusaidie kutatua?

No comments:

Post a Comment