Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, April 9, 2012

Wapi ufunguo?

Mwanamke mmoja alipoteza ufunguo wa nyumba maeneo ya nyumbani. Sasa wakati anautafuta mumewe aliporudi akauliza na kuambiwa ufunguo umepotea. Mume akatoa simu na kumuambia mkewe "hebu nipe namba niu-beep"

No comments:

Post a Comment