Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, April 25, 2012

Mkopo huo

Jamaa akimshushua mwenzake "mshkaji wangu we tatizo unakopa sana, chuupi unakopa, maji unakoopa, mwanamke ukienda nae gesti unakopa pia" Jamaa akajibu: Sasa hali tete mie nifanyeje?

No comments:

Post a Comment